mmmmh


oo

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

chemsha bongo


nitajie jina 1 ambalo
ukitoa herufi 2 za mwanzo
unapata jina la mkoa,jina  hilo la mkoa ukilisoma kuanzia nyuma kwenda mbele unapata jina la mvulana  na ukitoa
herufi 2 za mwisho unapata jina la mnyama
na neno lenyewe ukilisoma kama lilivyo ni jina la sehemu maarufu!
.....................................
Umri wa Malkia ni sawa na umri
 wa Mfalme utakavyokuwa pale umri
 wa Malkia ukiwa mara mbili ya umri
 wa Mfalme ulivyokuwa pindi malkia akiwa na umri
nusu ya jumla ya umri
 wao wa sasa.
Taja umri wao wa sasa.
...................
Andika sentensi ifuatayo toka mwisho kwenda
 mwanzo bila kubadili maana:

▶Muziki♩♪ni♫♬Sauti: ▁ ▂ ▃ ▄ ▅ ▆ █ 100 %
.......................
Wanawake wawili walituma maombi ya kazi,
wanafanana na ni wazaliwa wa Mama na Baba
mmoja na wanamiliki tarehe moja ya kuzaliwa. Muajiri aliwauliza, "nyie ni mapacha?"
 bila ya kuficha wakasema ukweli kwa pamoja "HAPANA".

Je, hii inawezekanaje?
................
Wewe ni dereva wa basi lenye viti vya abiria 63,
 mlango mmoja na madirisha 28. Umeanza safari basi
likiwa limejaa abiria, 21 wakashuka chalinze na kupanda wengine 14. Abiria
 33 wakashuka morogoro na kupanda wengine 40.
Abiria 9 ya wale 14 wakashuka sekenke na kupanda wengine 6 kisha
wawili kati ya wale 6 kushushwa na dereva mwengine.
12 wakashuka shinyanga na kupanda wengine 12 kumrudia abiria mmoja kati ya 9
walioshuka. Dereva wa mwanzo yuko wapi?

Jibu lake ni: 'Dereva wa mwanzo yuko FaceBook'
........................
Ufuatao ni mlolongo wa namba. Andika namba inayofuata katika mpangilio. ________

1
11
21
1211
111221
312211
13112221
.......................
Mwalimu aliuliza swali, laiti kesho ingekuwa jana basi
leo ingekuwa ijumaa ile iliyopita. je? Mwalimu aliuliza swali siku gani?

..................
Wewe ni dereva wa basi lenye viti vya abiria 63,

 mlango mmoja na madirisha 28. Umeanza safari basi
 likiwa limejaa abiria, 21 wakashuka chalinze na kupanda wengine 14. Abiria
33 wakashuka morogoro na kupanda wengine 40. Abiria 9 ya wale 14 wakashuka sekenke na kupanda wengine 6 kisha wawili
 kati ya wale 6 kushushwa na dereva mwengine. 12
wakashuka shinyanga na kupanda wengine 12 kumrudia abiria mmoja kati ya 9
 walioshuka. Dereva wa mwanzo yuko wapi?
........................
Jibu lake ni: Zimejipanga kwa kufuata mtiririko wa
alfabeti za kingereza, yaani Eight, Five, Four,
 Nine, One n.k...
Ni kitu gani cha pekee unachoweza kukiona katika mlolongo wa namba hizi:
8 5 4 9 1 7 6 10 3 2 0
...................
Jibu lake ni Tarehe 30, Disemba.
Kumbuka kuna neno KESHO kwenye sentensi ya pili.
 Patriki alizaliwa muda mfupi kabla ya mwaka
 mpya kuingia (yaani tar 31) na Patrisia alizaliwa muda mfupi baada ya
 mwaka kuingia (yaani tar 1).

Patriki na Patrisia ni watoto mapacha.
Kesho patriki atasherekea siku yake ya 5
 ya kuzaliwa. Patrisia yeye itabidi asubiri mpaka mwaka ujao pale atakapofikisha umri
wa miaka mitano ndio asherekee siku yake ya
kuzaliwa. Je, Leo ni tarehe ngapi?
...........................
Patriki na Patrisia ni watoto mapacha. Kesho
patriki atasherekea siku yake ya 5 ya kuzaliwa.
 Patrisia yeye itabidi asubiri mpaka mwaka ujao pale atakapofikisha umri wa
 miaka mitano ndio asherekee siku yake ya kuzaliwa.
Je, Leo ni tarehe ngapi?
.........................
Una soksi 12 nyeupe na soksi 13 nyeusi
 zimechanganywa katika kikapu. Umehamka
 mapema kungali giza bado hali inayokuwia vigumu kutambua rangi za soksi kwa uchi wa macho.
 Utahitajika kuchukua soksi ngapi kwa mkupuo
 mmoja ili kuweka uhakika wa kukamilisha jozi moja ya soksi zinazofanana?
.......................
Ni neno gani pekee katika lugha ya kiswahili
 ambalo kila likitamkwa linatamkwa visivyo? _______
.....................
Sentensi ipi ni sahihi?
Kiini cha yai ni cheupe. AU Kiini cha mayai ni cheupe.
..................
Jibu lake ni herufi 'E'

_____ ni herufi inayoongoza kwa kutumika
kuliko herufi nyingine zote katika alfabeti
 ya lugha ya kiswahili.

A. Herufi 'M'
B. Herufi 'A'
C. Herufi 'E'
D. Herufi 'O'
.........................
Kabla ya mlima Kilimanjaro kugunduliwa, _______ ndiyo
 uliokuwa mlima mrefu kuliko yote Afrika.
.........................
Mwili wa binadamu kamili una jumla ya matundu
mangapi yanayoweza kuonekana? ________
....................
Jibu lake ni 32
Kelvin Semwaiko ndiyo mshindi wetu.

Binadamu hupumua kwa kasi zaidi anapokimbia
kuliko anapokuwa akitembea au amelala.
Anapokimbia hupumua mara 50 kwa dakika, anapokuwa amelala hupumua mara 10 kwa dakika.
Je! binadamu hupumua mara ngapi anapokuwa akitembea? _______
......................
Mifupa laini na midogo kabisa inapatikana
sehemu gani katika mwili wa binadamu? _______
...................
Binadamu hupumua kwa kasi zaidi anapokimbia
kuliko anapokuwa akitembea au amelala.
Anapokimbia hupumua mara 50 kwa dakika, anapokuwa amelala hupumua mara 10 kwa dakika.
Je! binadamu hupumua mara ngapi anapokuwa akitembea? _______
......................
_____ ni herufi inayoongoza kwa kutumika kuliko herufi nyingine zote katika alfabeti ya lugha ya kiswahili.

A. Herufi 'M'
B. Herufi 'A'
C. Herufi 'E'
D. Herufi 'O'
.......................
_______ ni mwezi wenye idadi kubwa ya wazaliwa duniani.

A. Oktoba
B. Mei
C. Machi
D. Agosti
E. Mwezi Mtukufu

........................
Binadamu hupumua kwa kasi zaidi anapokimbia
kuliko anapokuwa akitembea au amelala.
 Anapokimbia hupumua mara 50 kwa dakika, anapokuwa amelala hupumua mara 10 kwa dakika.
 Je! binadamu hupumua mara ngapi anapokuwa akitembea? _______

....................
Taja hifadhi 3 ambazo MIKUMI iko njiani
kuelekea kwenye hifadhi hizo kwa barabara
 kutokea Dar es Salaam.

Mikumi ni moja ya hifadhi mashuhuri na kubwa nchini
 Tanzania inayopatikana katika mkoa wa Morogoro.
 Eneo kuu na muhimu katika hifadhi hii ni uwanda wa mafuriko pamoja
na safu za milima ambazo zinapatikana ndani ya
 hifadhi hii. Pia Mbuga za wazi ndizo zinazoshamiri katika uwanda wa mafuriko
na kuishia katika misitu ya miombo inayofunika
mabonde yaliyo chini ya hifadhi. Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa 3230
 na ipo umbali wa kilometa 283 magharibi mwa Dar ea Salaam.
...........................
Nchi ya Tanzania ilifanya uchaguzi wa urais na ubunge
mnamo 4 Desemba 2005. Mapema uchaguzi ulikuwa
 umepangiwa kufanyika mnamo 30 Oktoba lakini ukahairishwa. Uchaguzi
huu ulikuwa wa tatu tangu nchi hiyo kurudia
mfumo wa vyama vingi mnamo 1992. Pia ulikuwa wa kipekee kwa kuwa aliyekuwa rais
Benjamin Mkapa, ambaye alikuwa amehudumia kwa kipindi cha miaka miwili alistaafu kulingana na Katiba.
Taja sababu kubwa moja iliyopelekea kuhairishwa
 kwa uchaguzi huo?..
.................................
__________ ni mtindo wa pekee wa uchoraji
 picha unaotumia vipande vidogo vya kioo
cha rangi au vigae vya rangi mbalimbali vinavyounganishwa kuwa picha. Kunawezekana
pia kutumia vipande vya vitu vyovyote vyenye
 rangi vinavyoweza kuunganishwa kuwa picha.

....................
Dunia ni mfano wa duara, Je, ukichimba shimo
refu kabisa katikati ya mji wa Mombasa utatokea wapi?
.....................
John alikwenda dukani kununua viatu na noti ya 10000.
Akakuta viatu vinauzwa 7000, akatoa elfu kumi na kumpa muuzaji. Muuzaji hakuwa na chenji ikabidi amuazime Masawe
elfu 3 na kumuachia noti ya elfu 10. Mda kidogo
Masawe akarudi kwa muuza duka na kumwambia noti ya elfu 10 aliyompa ni feki.
 Muuza duka sababu alikuwa bado hajapata chenji ikabidi ampe elfu 10 nyengine. Je, muuza duka alipata hasara ya bei gani?
........................
____________ ni jina kamili la Mtunzi wa wimbo wa
Taifa wa Tanzania aliyepanda na kusimika bendera
 ya uhuru katika kilele cha mlima kilimanjaro mwaka 1961 saa sita usiku
 pindi mwimbo huo ukiimbwa kwa mara ya kwanza.
.......................
Kwenye mahojiano(interview) ya kutafuta kazi,
 Jibu gani litaweza kukupatia kazi kuliko mengine?

"Kwa nini sisi tukuajiri wewe? ________________"
A. Kwa sababu mimi ni bora zaidi.
B. Kwa sababu ninastahili kazi.
C. Kwa sababu mimi ni nafuu.
D. Kwa sababu niliwahi kufanya kazi.
E. Kwa sababu hakuna jinsi.
................................
_______ na _______ ni nyimbo mbili za awali kabisa
 zilizomtambulisha Rehema Chalamila (Ray C) katika wingu la muziki wa kitanzania.
........................
Katika mwili wa binadamu, Pombe inatunzwa kwenye _____?
A. Figo
B. Ini
C. Kongosho
...............................
Kwenye mashindano ya riadha ukikimbia ukampita
 namba mbili, wewe utakuwa namba _____ ??

........................
Siwezi Kusikia, Siwezi kuongea lakini nitakupa UKWELI.
Ni nini hicho? _______
........................
Ukizitazama vizuri namba 1, 8 na 343 utagundua
kuwa zinamiliki sifa 1 zote kwa pamoja. Sifa hiyo ni _________ ??

..........................
VOCHA YA 5000 KWA ATAKAYEWAHI KUTOA JIBU SAHIHI.

Asili ya kila rangi inatokana na mchanganyiko
 sahili wa rangi kuu 3, ambazo ni Nyekundu,
Kijani na Bluu. Ukichanganya rangi hizi zote 3 unapata rangi Nyeupe. Taja rangi
ambazo ukupunguza kutoka kwenye mchanganyiko huo unapata rangi NYEUSI.
............................
Jupita ni sayari kubwa kuliko sayari zote katika Mfumo wa Jua.
Taja Sayari inayoizunguka dunia kwa kasi kuliko sayari zote 9.
................................
Kuna Madini aina nyingi. Mfano: Dhahabu, Chumvi,
Almasi, Tanzanite, Mchovyo, Chuma, Fedha, Shaba, na kadhalika...

Ni madini gani laini kuliko madini yote?
............................
_______ ni mnyama pekee anayeweza kupiga magoti
 kwa miguu yote minne.

.....................
Nelson Mandera alifungwa gerezani miaka _____ kabla ya kuipatia uhuru Afrika ya Kusini.
...................
Kati ya milango mitano ya fahamu (Sense Organs),
 Ni upi unao ongezeka nguvu kadri muda unavyokwenda? ________
.......................
Wewe ni Mwandishi na Mhariri mahiri wa habari nchini.
 Kazi yako ni kuhariri habari zote kabla ya kutangazwa
 redioni. Badili umbea huu uwe taarifa ya habari yenye kuleta tija kwa
 jamii nzima bila kupotosha maana:

"yule waziri wa maendeleo si kadondoka chooni
kwenye baa aliyokuwa analewa na wabunge wenza!"

...............................
Pweza ana mioyo mingapi? _______
..............................
Sasa, Katika, Tomato, Kuku, Sambusa na maneno mengine
kama haya yanayosomeka sawa kutokea mbele au kutokea nyuma yanaitwaje kwa jina moja? _________
....................................
Kwenye anwani:
P.O. Box = Post Office Box
Tel = Telephone
Email = Electronic mail
Fax = _________ ?
...............................
Ni kitu gani kinatokea mara 2 kila DAKIKA,
 mara 2 kila SAA na mara 2 kila MWAKA? _______
...............................
Tumia uzoefu kurekebisha sentensi za mwalimu huyu.

Mwalimu: "kwanini hujafanya home work? HEBU TOKA NJE HARAKA"
(mwanafunzi akatoka zake nje na mvua ikaanza kunyesha)
Mwalimu: "wewe mtoto huoni unanyeshewa na mvua huko?
 HEBU TOKA NJE HARAKA njoo darasani"
Mwanafunzi: "nimeisha TOKA NJE HARAKA, Nitoke mara ngapi?"
.................................
13 inaandikwa XIII, 40 inaandikwa XL na CCV inaandikwa 205 kwa kirumi.
Andika CLXIIV katika namba ya kawaida ________
...............................
Anayekitengeneza haktumii, anayekiuza hakitumii,
anayekinunua haktumii, anayekitumia hajui kama
anakitumia. Ni nini hicho?
...................
Ni mdudu gani kati ya hawa anayeonyesha Joto sahihi la hewa?
Buibui, mbu au kriketi.
...........................
____ ni jiji lenye watu wengi duniani.
..........................
Vijana watano walijaribu kukisia idadi ya golori
zilizomo ndani ya chupa, walijitahidi kama ifuatavyo:
1: 45
2: 39
3: 49
4: 50
5: 47
Mmoja alikosea kwa 6, mwingine kwa 5, mwingine kwa 4,
 mwingine kwa 2 na mmoja alikuwa sahihi kabisa.
Je! Kwenye chupa kuna golori ngapi?
...............................
Kuna matunda zaidi ya 230 yasiyokuwa na
mbegu kwa ndani. Taja 8 tu.

.....................
_______ ni sehemu ya mwili wa binadamu yenye
dhahabu nying
............................
______ ni neno pekee la kiingereza linaloishia
na herufi hizi "MT"
..........................
_______ ni chakula kinacholiwa na theluthi
 moja (1/3) ya idadi ya watu duniani.
...........................
Taja vitu vitatu ambavyo ukivitumia vibaya
maishani, Huwezi kuvipata tena.
...............................
Ni bahari gani duniani ambayo haina fukwe(beaches)??
...............................
Ukiondoa KIFO na FOFOFO, Taja maneno mengine
 matatu ya kiswahili yanayo ishia na FO
..................................
________ ni neno refu la kiingereza ambalo
ukitype kwa kutumia keyboard ya computer
 utatumia mstari mmoja tu "wa herufi" ambao ni wa kwanza (mstari wenye herufi P,O,Q,W,E,R,T,U,Y,I,)
...................................
Unahisi picha hii ilipigwa miaka mingapi
 nyuma kabla ya yeye kuwa Miss Tanzania mwaka 2006?
...................................
_______ ni sehemu pekee katika mwili
 wa binadamu iliyofunikwa kwa ngozi isiyovutika.
............................
Kitunguu swaumu kwa kiingereza kinaitwa ______ ??
...........................
_______ni neno pekee la kiingereza linaloishia na herufi "MT"

...............................
Baba Yanguu ana watoto watano kama ifuatavyo:
Wa kwanza - Mwambaza
Wa pili - Mwambeze
Wa tatu - Mwambizi
Wa nne - Mwambozo
Wa tano - _________?
Huyu wa mwisho ataitwaje?..
...............................
Kila namba imebeba kundi la herufi:
1=ABC, 2=DEF, 3=GHI, 4=JKL, 5=MNO, 6=PQR, 7=STU, 8=VWX, 9=YZ.

Mfano, ukipewa namba 117 unaweza ukatengeneza
neno CAT kwa kuchomoa herufi moja moja kwa kila namba.
Nipe jina la huyu mnyama: 1 7 4 4 5 1 7 7 3 2 2
..................................
Kuna vitu vitatu mwilini ambavyo ukivikata haviumi.
1. Kucha
2. Nywele na
3. ______
.............................
Mtu anayetengeneza na kuuza mishumaa anaitwaje? ________
................................
Nane na nane ni nane ngapi?
...............................
Mtoto wa sungura anaitwaje kwa kiswahili? ________

.........................
Andika hii sentensi kwa kiswahili:
"Baba, Mimi ni mtoto wa ngapi kwenye familia?"
.........................
______ , _______ na _______ ni wanyama watatu wanaotaga mayai.
...........................
CANADA limetokana na neno la kihindi ambalo maana yake kwa lugha hiyo (kihindi) ni _______

waweza jibu kwa kiingereza au kiswahili
..........................
Hisia za binadamu kimapenzi zina nguvu mara 10,000 zaidi ya mnyama gani? _____
..........................
____ni neno refu la kiingereza ambalo halina herufi inayojirudia. Lina herufi kumi na tano (15)
.............................
_______ ni nchi inayolima matunda kwa wingi duniani.
................................
_______ni jina la utani alilopewa barack obama na marafiki
 zake kipindi anasoma kwa sababu ya uwezo wake wa kufanga magoli kwenye mchezo wa basket ball...
................................
 neno la kiingereza lenye herufi 3 kila unapolitamka linakuwa na maana.

neno lenyewe eat

..............
mnyama gani ukitoa herufi ya mwanzo unapata kitendo
.......................
  Mimi ni mpiga picha ambaye nilipiga
picha mpiga picha aliyekuwa akiwa piga
picha wapiga picha waliokuwa wanapigana
picha, Je mimi niliwapiga picha watu wangapi??
..........................
>Nitajie jina la ndege ambae jina lake lina herufi 7

>Ukitoa herufi mbili za mwisho unapata jina la tunda "litaje"

>Jina la ndege huyo ukitoa herufi mbili za mwanzo unapata jina la samaki "mtaje"

>Na jina la samaki ukilisoma kinyumenyume unapata jina la silaha "itaje".

.............................
Je Mtaa wa Rufita (Rufita Street) ulipata umaarufu katika kitabu gani? Mwandishi wa kitabu hicho alikuwa ni nani?
.........................
Ni kwa nini Nyoka akipatwa na kidonda/jeraha ni mpaka afe tofauti na wanyama wengine kama mbwa n.k ambao wao upona?
......................
Baba mmoja alikuwa na mabinti 6/sita na kila binti alikuwa na kaka mmoja. Je? baba huyu alikuwa na watoto wangapi ?
.............................
nilikuwa na a e i o u nikatoa a e i o u je nilibakiwa na herufi gani?
.......................
AMRI KUMI KWA WAPENDAO OFA
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofa
. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
8. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda madogomadogo
10. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata kama hakichekeshi
............................
...Uhali gani mteja wangu? Leo tunapeana discount kwa wanunuzi wote wa kuku. Nina kila aina za KUKU kama vile:
1.KUKUwaza
2.KUKUpenda.
3.KUKUmiss
4.KUKUona
5.KUKUalika
6.KUKUpigia
7.KUKUjali
8.KUKUngoja 9.KUKUsifu 10.KUKUsalimu.
11.KUKUtumia Sms.
12.KUKUlamba
13.KUKUsumbua
14.KUKUfil...
15.KUKUwanga
16.KUKUnyonya
17.KUKUtukana
18.KUKUtakia siku njema

Hebu niambie, unahitaji kuku gani?

................................
...MVUTA bangi alikwenda kwa
daktari na kumwambia.

“Mara nyingi huwa nazungumza na watu,
lakini cha kushangaza watu hao huwa
siwaoni, utanisaidiaje daktari?”

Daktari: “Ni wakati gani huwa inakujia
hali kama hiyo?”

Mvuta bangi: “Mara nyingi pale
ninapoongea nao kwa simu.”
.............................
...Hii imetokea huko Manzese Jijini D'salaam.
dogo mmoja umri 12, awaacha watu midomo wazi ni baada ya kuingia club na kuagiza bia ya "kilimanjaro" kama vyupa 11.

Kimbembe ni pale waiter alipokuja na kuhitaji malipo.

Mara Dogo" kazama mfukoni na kuchomoa bango la Kilimanjaro ambalo chini limeandikwa kwa maandishi makubwa:

"ONYO, HAIUZWI KWA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18"

(Hii ikiwa na maana wanapewa bure)
..............................
Jeuri dawa yake kiburi;

Gari imeondoka KARIAKOO kufika MANZESE konda akauliza kuna mtu anashuka?

Abiria 1 akajibu: "Tumeziacha nyumbani tuna mitandio tu."

kufika mbele..

abiria mwenye nyodo akawa anashuka UBUNGO MAZIWA. Akasema;

"Konda nashuka maziwa."

Konda akamjibu;

"Itabidi urudi mjini ukanunue Sidiria."
.....................
...Mzee bahili balaaaa...

Mtoto: Mama, nimemuomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele.
Mama: shukuru Mungu mwnangu, ungemuomba hela ya whitedent angekung'oa meno...!!
...............................
..TUWE MAKINI NA LUGHA 2NAZO 2MIA
mama na dokta
dokta;dah Mungu mkubwa mama.
mama;kwa nini dokta?
dokta;yani umezaa JEMBE mama
mama;(kazimia)
;kumbe dokta alimaanisha kazaa kidume hahahahahhahahahaha
....................
..Jamaa yangu mmoja alikuja kunitembelea kule Mburahati Madoto. Sasa wakati namsindikiza tukafika kituo cha madoto mwisho kusubiri daladala. Mara jamaa yangu akanyewa na kunguru kichwani. Jamaa akaangalia juu alivyogundua amenyewa akamuona kungulu usawa wake, jamaa akaangua kicheko sana yaani. Mi nilikuwa naona yote yanayotokea nikamuuliza “sasa unacheka nini ndugu yangu wakati umenyewa?” Jamaa akajibu “We acha tu, afadhali bata hawapai angani kama kunguru”
....................
...Mama mmoja alimtuma mwanawe wa miaka sita (6) aende dukani akanunue unga robo na maharagwe. Wakati mwanae anatoka akamwambia

Mama: Angalia magari barabarani siku hizi ajali nyingi

Mtoto1: Haya mama

Baada ya saa moja kupita mama akaona huyu mtoto atakuwa amepotea ama anacheza akamtuma mtoto mwingine akamuangalie na amwambie arudi haraka. Wakati anatoka huyu mtoto mama akamkumbusha

Mama: angalia magari huko kuna ajali

Mtoto2: Haya

Mtoto huyu nae akaenda.

Baada ya saa jingine kuisha mama akatoka kwa hasira na kuwafata huko dukani. Alipofika barabarani kabla hajavuka kwenda dukani akawaona watoto wake wamekaa katika matofali wanaangalia magari

Mama: (Kwa hasira) Nyi wa#@nz mnafanya nini hapa

Mtoto1: Tunaangalia magari

Mama: mitoto mijinga kweli, ndo nilichokutuma hicho?

Mtoto2: Usijali ndo nasubiri ajali niruidi
.....................
.Jamaa alipita sehemu isiyoruhusiwa katika kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuhamisha tofali 1000!
Jamaa akajitahidi akabeba tofal 900 na akawa hoi! Na ghafla akakumbuka kuwa mkuu wa kambi ni rafik yake wamesoma pamoja, akampigia simu.
Jamaa,”mkuu, vijana wako wamenipa adhabu ya kuhamisha matofali 1000!”
Mkuu,”hao wajinga kweli hawajui tunavyofahamiana! Wasikusumbue,mi ndo mkuu wao. Zirudishe palepale zilipokuwa mwanzo, halafu uje ofisini tuonane.” Jamaa wacha alie.
............................
..NANI FALA ZAIDI?

BABA: Sikiliza Dogo akija mtu
kunitafuta mwambie nimesafiri
DOGO: Sawa baba...............
MGENI: Dogo baba yako yupo?
DOGO: Baba kasafiri
MGENI: Kaenda wapi?
DOGO: Ngoja nikamuulize................
DOGO: Mgeni anauliza umesafiri
umeenda wapi?
BABA:Mwambie nimeenda
Songea.........
DOGO: Baba kasema ameenda
Songea.
MGENI: Basi akirudi mwambie
anitaarifu..
......................
.TANGAZO!
kwa wasio na VING'AMUZI
majumbani Kwao!
kwetu tunaonyesha vpindi
vifuatavyo!
1-Taarifa ya Habari Tshs 250/=
2-Tamthilia ya ITV&STAR-TV Tshs
400/=
3-SPORTS BAR Tsh 300/=
4-WATOTO SHOW Tshs 150/=
5-CARTOUN Tsh 200/=

Tafadhali ukija uje na pesa kamili
Change hatuna.
na uje na mfuko wa kuwekea
NDALA..
...................
...Hii imetokea huko ujerumani ambapo daktari mmoja wa vichaa mwenye hospitali yake binafsi alikuwa anasafiri na vichaa wake watatu wenye nafuu katika ndege ndogo toka mji mmoja kwenda mji mwingine.

Wakiwa hewani wagonjwa wawili walikuwa wanacheza cheza na kupiga kelele ndani ya ndege kwa nyuma wakati mmoja ametulia kimya akiwa ameshika gazeti. Kelele zilikuwa zinasumbua kiasi fulandi ndipo Yule mgonjwa aliyekuwa kimya akaenda kwa daktari mbele katika chumba cha kuongozea ndege na kuzungumza na daktari wao

Mgonjwa: Samahani dokta, nilikuwa nafikiri kama tungewapa mipira wachezee ili wapunguze kelele

Daktari: Ni sawa haina tatizo, wazo zuri sana

Yule mgonjwa akarudi nyuma kwa wenzie kisha baada ya kama dakika kumi hivi kule nyuma kulikuwa kimya kabisa. Daktari akafurahishwa mno na ubunifu wa yule mgonjwa mmoja na kuona kuwa maendeleo yake ni mazuri.

Daktari akataka kuwapa pongezi kwa kukaa kimya, akamuita yule mgonjwa aliyetoa wazo na kumuuliza

Daktari: aisee! Wazo lako ni zuri sana, waambie wenzio kuwa tukifika nitawapa zawadi kwa utulivu wa leo

Mgonjwa: nilipata wazo zuri zaidi ya lile, nilipowapa mpira nikawafungulia mlango wakachezee barazani. Wakiingia ndani nitawaambia. Shukrani dokta.
.........................
...Mama mmoja alimtuma mwanawe wa miaka sita (6) aende dukani akanunue unga robo na maharagwe. Wakati mwanae anatoka akamwambia

Mama: Angalia magari barabarani siku hizi ajali nyingi

Mtoto1: Haya mama

Baada ya saa moja kupita mama akaona
 huyu mtoto atakuwa amepotea ama
anacheza akamtuma mtoto mwingine
akamuangalie na amwambie arudi haraka.
 Wakati anatoka huyu mtoto mama akamkumbusha

Mama: angalia magari huko kuna ajali

Mtoto2: Haya

Mtoto huyu nae akaenda.

Baada ya saa jingine kuisha mama akatoka
 kwa hasira na kuwafata huko dukani.
 Alipofika barabarani kabla hajavuka
 kwenda dukani akawaona watoto wake
wamekaa katika matofali wanaangalia magari

Mama: (Kwa hasira) Nyi wa#@nz mnafanya nini hapa

Mtoto1: Tunaangalia magari

Mama: mitoto mijinga kweli, ndo nilichokutuma hicho?

Mtoto2: Usijali ndo nasubiri ajali niruidi
......................
.Jamaa alipita sehemu isiyoruhusiwa katika
kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuhamisha
tofali 1000!
Jamaa akajitahidi akabeba tofal 900 na
akawa hoi! Na ghafla akakumbuka kuwa mkuu
 wa kambi ni rafik yake wamesoma pamoja,
akampigia simu.
Jamaa,”mkuu, vijana wako wamenipa adhabu
 ya kuhamisha matofali 1000!”

Mkuu,”hao wajinga kweli hawajui tunavyofahamiana!
 Wasikusumbue,mi ndo mkuu wao. Zirudishe palepale
 zilipokuwa mwanzo, halafu uje ofisini tuonane.”
 Jamaa wacha alie.
........................
Vichaa waliambiwa watengeneze TV kwakutumia mabox.
Siku ya kuleta TV vichaa wote wakaleta mabox
 yao kasoro mmoja aliyekuja na karatasi.
Dokta akahisi amepona,akamuuliza we vp mbona
umeleta karatasi?
Kichaa: Hamna dokta hii ni FLAT SCREEN.
....................
..Jamaa aliingia hotelini:
JAMAA:
waiter nipe soda na mpe
kila mtu humu ndana soda,maana
wakati napata kinywaji lazma kila
m2 apate kinywaji.
Haraka sana waiter akagawa
vinywaji.
JAMAA:
waiter nipe supu na kila m2
mpe supu maana ninapokunywa
supu kila m2 lazma anywe supu.
Watu wakapewa supu tena safari
hii wakampigia makofi.
JAMaa:
waiter nipe bili,na kila m2 mpe
bili yake maana wakati nalipa bili
yangu lazma kila m2 alipe yake!
Vya bure hakunaaaaaaaaaa aa!
utaumiaaaaaaaa! akalipa yake na kwenda zake..
.....................
Shule ya singi JANJA JANJA...Ticha: Ni nani
 aliye muua mkwawa?
Dent 1: sio mimi ?
Dent2: wala sihusiki!.
Dent3:kwanz mi jana sikuja shule!!.
Ticha alipoona kuwa wanafunzi wote majuha ,
 akaamua kumwita mkuu wa shule awaulize tena
 mambo yakawa vile vile ndipo mwalimu mkuu akamwita
 mwalimu pembeni na kumuuliza hivi.
"HIVi UNA UHAkiKa MUUAJI YUPO DARASA HIli?..
...................
amaa alikuwa na wasi wasi kuwa mkewe si
 mwaminifu akapanga safari feki. Usiku
akamtafuta rafiki yake wakamfumanie kwa
 ushahidi. Wakanyata nyata na kufungua
 milango mpaka chumbani, jamaa na pisto
tayari mkononi, ile kufunua blanketi kweli
 wakamkuta bibie na mwanaume. Jamaa
kapandisha hasira anataka kumtwanga
risasi mgongoni.
MKE: Chonde chonde mume wangu subiri,
 huyu ndie mfadhili wetu, analipia ada
ya shule ya watoto, ndie aliyefanya mpango
ukapata kazi, ndie aliye nunua friji,
 home theatre, TV amelipia DSTV miezi
 sita,hata kodi ya nyumba sikukopa kama
 nilivyosema alilipa yeye.
MUME: Aise poleni mfunike blanketi vizuri
 asije akaumwa na mmbu.
...................
Bado tupo kwenye msiba wa ndugu zetu form
 four hivyo tuungane wote kwa kusema
"NECTA IMETOA NECTA IMETWAA, FORM FIVE
 WALIIPENDA LAKINI KITAA KUMEWAPENDAZAIDI,
 JINA LA NECTA LIHIMIDIWE MILELE AMINA!"
...................
Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka chakula
 kwenye jalala mara ikapita Land Rover ya
FFU na ndani yake kuna mbwa wa Polisi;
 Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu
kisha akamwambia mwenzie, "Unaona wenzetu
 waliosoma, wale wanaenda kazini.
...............
Kulikuwa na washtakiwa watatu,
Mmasai, Mmakonde na Mchaga. Wote
waliukumiwa kufa/kuwawa kwa
kukutwa na madawa ya kulevya, kule
Jamhuri ya wa watu wa China. Serikali
ya China kwa kuzingatia mahusiano
mazuri na serikali ya Tanzania, askari
magereza akawashauri wachague jinsi
yanavyopenda kufa. Wakatakiwa
wachague aina tatu ya jinsi ya
kuuwawa. Aidha kwa bunduki, kupigwa
sindano ya virus vya aids/hiv. au
kunyongwa hadi kufa!!
Mmasai akafikiri sana akasema:
bwanya azkari, nipige pistori. Askari
wakafyatua risasi, Mmasai akafa...!
Mmakonde: Mimi bana achikari
ninyonge bachi, niuwawee. Mmakonde
akanyongwa hadi kufa.
Mchaga. Mimi nazubiri unipatie hiyo
injection ya viruzi vya aidz. Askari
magereza wakampiga sindano ya virus.
Ghafla mchaga akaanza kucheka,
akacheka akacheka sana. Askari
akashangaa na akamuliza unacheka
nini. Mchaga akajibu:
Wewe azkari mpumbafu zana. Aisee
babangu Mimi nimevaa kondom...
........................
Kuna jamaa moja alienda kuiba kuku alipoona
anafuatwa akakimbilia mtoni.. Alafu jamaa
 kufika mtoni akamtoa kuku manyoya kisha
akamrusha kwenye maji.. Watu walipofika
 wakamuuliza: kuku yuko wapi!?..
Akajibu kenda kuogelewa yule kule amenipa nguo zake nimshikie
akawaonesha manyoya, watu wote wakabaki midomo wazi
 kwa mshangao kuona kuku kweli anaogelea..
.........................
Mwlim wa CRE aliuliza,watu "wangapi wange penda kuenda mbinguni?"watu wote waka nyosha mikono except mmoja,mwlim akauliza tena "wangapi wange pendakubaki?"ha­kuna alienyosha,mwli­m akamuuliza yule ambae hakunyosha wewe ungependa kuenda wapi?mwnf"nyumb­ani."
..................
Mume mvivu aambiwa na mke wake :mume wangu si unisaidie kazi za bustani
MUME: kwani mi ni houseboy?
MKE: basi nisaidie kutengeza mlango
MUME: kwani mi ni carpenter?
MKE: basi nisaidie kutupa taka taka,:
MUME: kwani mi ni munisper?
(mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,akatengeza mlango na kutupa taka?
MKE:ni jirani ye2 swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae,
MUME:hahaha,najua ulimpa wali,
MKE: Kwani mi ni hoteli?nililala nae kwa taarifa yako
........................
Wakiwa mbugani baba na mwanawe.
Dadi onaile mnyama!
Baba:c ninyani yule
mtot:na zile ki2 za blue ni nini
baba: ni tyre
nyumbani baba katoka safarini kajifunga taulo na mara kakaa vicvyo
mtot:dady tairi zako zimeisha upepo ona vile zimesinyaa huku akibofya
..................
Kuna makonde mmoja alienda kwa muuza chipsi
MTEJA.nikaangie chahani moja
MUUZAJI.tomato unataka?
MTEJA.tomato chili
MUUZAJI.akamuekea kila kitu............
MTEJA.akasusa kwa kusema...... Nchakwambia tomato chili chacha wewe umeweka chacha chitaki.......!
..................
Mwanafunzi makini...

Mwalimu wa somo la hesabu alimuuliza mwanafunzi wake
"Juma, kama kuna ndege mia kwenye mti, ukichukua bunduki yako
na kuwapiga ndege ishirini na saba, ndege wangapi watabaki kwenye mti?
Juma akamjibu "Hakuna ndege atakaebaki, wote wataruka na kukimbia
kwa kuogopa kishindo cha bunduki"
Mwalimu akamwambia " Hapana, watabaki ndege sabini na tatu. Hata hivyo
nimependa jinsi unavyofikiri mbali zaidi...uko makini.
Juma akamwambia "Mwalimu na mimi nina swali, kama kuna wanawake
watatu kwenye mgahawa wanakula 'cone icecream' mmoja anakula kwa
kuilamba, mwingine anakula kwa kuimega vipande na wa tatu anakula kwa
kuinyonya, unadhani ni yupi aliye olewa (mwenye mume) kati ya hao?
Mwalimu akamjibu "Bila shaka ni yule anaekula kwa kuinyonya"
Juma akamwambia "hapana mwalimu umekosea...ni yule mwenye pete ya ndoa,
hata hivyo na mimi nimependa sana jinsi unavyofikiri mbali zaidi..."
.........................
mama anamuuliza mwanaye,"we juma,hee!!alfajiri yote mbona unawahi shuleni leo?
juma:mwalimu wa bagia leo anakuja asubuhi nikichelewa nitakuta zimeisha
mama:pumbavu siyo kuwahi masomo bali bagia?
juma:ndiyo siwanasemaga elimu haina mwisho lakini bagia nikichelewa zinaisha..

mama hoi!!!!!!!!!!!!!!
......................
Jamaa anamatatizo kaingia kwa daktari
JAMAA=dokta ninatatizo huku chini
DOKTA=hebu vua tone
JAMAA=navua ila usunicheke ,plz dkt
usinicheke
DOCKTA=usijali mimi hii ndo kazi yangu siwezi
kumcheka mgojwa ,jamaa akavua suruari
kuonesha DUSHELELE(¡) yake ,basi dokta
kuona ustaarabu ukamshinda akaanza
kucheka kama dk3 hadi machozi yakamtoka
kwani DUSHELELE(uume) ya jamaa ni kadogo
kama betrii ya AAA(betrii za remote ya
TV)daktari alipomaliza kucheka mazungumzo
yakaendelea
DOKTA=enhee tatizo nini
JAMAA=imevimba toka juzi ,,dokta akazimia
pale pale
....................
NAKUPA HABARI NJEMA ZA KIAFYA

"Usiongee na Simu kwa Sikio la Kulia.
Usimeze Dawa kwa Maji ya Baridi.
Muda Mzuri wa Kulala ni baina saa 4 usiku hadi 10 alfajiri.
Hutakiwi Kula sana ifikapo saa 11 jioni nakuendelea.
Hutakiwi Kulala Pindi Utokapo Kula.
Simu inapokaribia Kwisha Chaji ni Hatari Kuitumia Kwani Mionzi huwa Effective Mara 1000.
Pendelea Kulalia Ubavu wa Kulia au Mgongo ili Kuepusha Matatizo ya Moyo.
..................................
..........aliumwa na Nyoka.akaanza kucheka hadimachozi yakamtoka.Juma akamwona akamwuliza,"mbona unacheka na umeumwa na Nyoka?" Salim akajibu, "namcheka huyu Nyoka,juu nina UKIMWI !!"
...................
Wizi ulifanyika katika nyumba ya mpare na muhusika baada ya kufuatilia aligundua kuwa aliyemuibia ng’ombe wake alikuwa ni Mmasai mmoja wa ng’ambo ya pili;

Mpare alifungulia kesi ya wizi na mahojiano mahakamani yalikuwa kama ifuatavyo:

* Mmasai: Wewe anasema mimi nimeiba hiyo Ng'ombe yako,
= Mpare: Ndiyo

* Mmasai: Niliingia kwa ile mlango ya nyuma ama ya mbele
= Mpare: Ya nyuma

* Mmasai: Imekosa, niliingia kwa ile mlango ya nyuma ya nyumba
* Mmasai: Nilipokuswaga ile ng’ombe dume alitangulia mbele au alikuwa nyuma
= Mpare: Uliswag Ng’ombe kwa nyuma

*Mmasai: Mekosa tena, Alienda kwa mbele ng’ombe akanifuata yenyewe.
* Mmasai: Je ile Ng’ombe alikuwa iko ngapi?
= Mpare: Ng’ombe walikuwa wako 7

*Mmasai: Amekosa kabisa, ng’ombe alikuwa ni 5 tu!!

TUFANYE WEWE NDO HAKIMU, HEBU TOA HUKUMU...!!
......................
Ki2ko ", Afisa mmoja alikwenda kwenye shamba la miti kukagua. Msimamizi akamwambia usingie muda huu! Afisa akatoa kitambulisho cha kazi; "wewe ninani wa kunizuia? Jamaa akamwambia pita tu mzee..! Kupita tu akaanza kupiga makelele: nyukiii! nakufaaa nyukiii, nisaidie, Jamaa akamjibu "Waonyeshe Kitambulisho
.........................
chemsha Bongo kiasi
Ingawaje kiswahili nakizungmza
daily bt kuna hili swali
lanchanganya kweli...
Wat is da difference btwn
11,000 n 10,001 in kiswahili??
........................
UKIPATA NA KUPA JERO KAKA YA YAKO AKIWOWA UNASEMA KAKA ANAMKE.JE WAKIWA WANNE KAKA ZAKO UTASEMAJE
........................
Leo cna WAZO
 ila nna SWALI;

         Naomba sana msaada wako!
Nauliza;
    " Eti Pesa humaliza Matatizo au Matatizo humaliza pesa?
.......................................
Walevi 3 wali kodi BAJAJ.
Dereva BAJAJ alivyoona wamelewa sana aliwasha BAJAJ alafu akazima akawaambia tumefika. Mambo yakawa hivi kwa wale walevi: -
wa 1 alimwambia ahsante.
Wa 2 akampa hela.
wa 3 alimpiga kibao akamwambia siku nyingine usiendeshe kwa kasi, Je yupi kati ya hawa amelewa sana?. 
.......................................
Kama tunasema ni kiherehere basi wewe umejaliwa, yaani kusikia tu mlio wa msg unataka kuisoma! Haya mwenzangu niambie kipi cha maana ulichosoma??
......................................
 
Read More ->>

No comments:

visitors comments