mmmmh


oo

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

vunja mbavu


vunja mbavu
Tunakuacha uende nyumbani kwasababu wewe si wazimu tena.haungemwok oa mwenzako kama wewe ni wazimu.Habari mbaya ni kuwa Abu amejinyongabafuni-"Salim akashtuka na kumwambia daktari,"Amejinyonga!La kini si huko ndonilimwanika akauke!"
...................................
Kunawakulima fulani walikuwa wanalima shambani wakasikia sauti "weka jembe chini" wale wakulima walizania jini kumbe watu wakasikia tena "weka kisu chini" wale wakulima wakaweka baada ya mda kidogo wakasikia "weka kopa chini" wale wakulima walikua hawana kopa "kama hauna kopa weka mavi chini" jamaa fulani akanya mavi wale jamaa wakasema "lamba mavi" lile jamaa likayalamba mavi halafu wale jamaa wakasema "GAME OVER" wakasikia kimya kuja kuchunguza kumbe kulikua na majamaa fulani wanacheza karata.
.......................................
Kunajamaa alimuibia polisi bunduli wakaanza kukimbizana mpaka makabulini polisi walikua nyuma kidogo jamaa alikua kawaacha kwa mbio jamaa likafika likaificha bunduki kwenye majani halafu akaketi kwenye kabuli moja hivi polisi walivyo fika wakazani mtu kajipumzisha kumbe yule mwizi aliye iba bunduki wakamuuliza vipi umemuona mwizi kakimbilia huku akawajibu aaa mimi mgeni nimezikwa leo tu labda niwaitie sofia awaambie..

Weweee aliona vumbi tu polisi hao mbio kinoma

halafu likashuka likachukua bunduki likaendelea na safari......
.........................................

visitors comments