Hivi
kweli haya ndiyo mapenzi ama naota njozi? Nimefanya kila naloweza kuliimarisha
letu penzi lakini naishia kuambulia majonzi, nimekuwa mtu wa kububujikwa na
machozi kwa sababu ya lako penzi, kama nimekukosea tafadhali niwie radhi
mpenzi, nakupenda na amini wewe pekee ndiye uliyetimiza ndoto yangu ya mapenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi
ni kosa gani nilililokutendea ambalo sipaswi kusamehewa? Ni kweli nilikosea
nahitaji kusamehewa mpenzi, plz naomba nielewe kwani sina mwingine zaidi yako
wewe. Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakiri
kweli nimekukosea naomba wako msamaha kwa yote yaliyotokea hakika nimekukwaza
lakini
kwa hakika hii ni mara yangu ya kwanza naamini,naamini utanisamehe laaziz
na
kunipa nafasi ya kulienzi lako penzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
unajua
nakupenda ila tu umeamua kunitenda rudisha moyo nyuma kasha twende sambamba
mapenzi yanavyokwenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapenzi
ni usanĂi ukiigiza utashindwa,mapenzi yanatoka moyoni wengi walioigiza
walishatengana,mpenzi wangu usiniache.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
penzi
la kweli siku zote hudumu,penzi la kitapeli haliishi ugomvi,mpenzi wangu leo
nimegundua nakukosea na naahidi kubadilika na kuwa mpenzi mpya na bora,nisamehe
. .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mpenzi
nashukuru nikikuacha nitakuwa ninakufuru mi ndiyo mpenzio na hauna mwenzako
mpenzi kuwa huru.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Japo
umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika
kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika
sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji,
mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu
wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Siamini
kilichotokea, hakika nimekukosea, lakini naapa katu sitorudia, upuuzi
niliokufanyia, najua jinsi gani waumia ndiyo maana umeninunia, nisamehe mpenzi
nafsi yangu ipate kutulia kwani bila wewe sin thamani katika hii dunia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kina
ninapokukumbuka machozi yanidondoka, hivi leo mwana wa mwenzio ninaumbuka kwa
kuparamia mapenzi kwa pupa, ukweli nakupa, hivi sasa najuta! Nisamehe mpenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ni
kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba
unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu. Nakupenda
sana, pokea busu mwanana....mwaaaaaaaa...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi
wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea,
lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini
nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Tukae
kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni
ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wewe
kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute
na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wewe
ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa
wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na
ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Tega
sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu,
haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie
tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha
yangu bila wewe ni sawa na giza nene!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mimi
kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa
kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima
umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo
niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Japo
umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika
kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
maneno
million haliwez kulirudisha pendo lako
najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua
kwasababu nimelia.
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Najua nimekukosea baby, lakini fahamu kwamba
haikuwa nia yangu kukupotezea furaha yako, nipe
nafasi nyingine moyoni mwako!
Nipe nafasi nyingine maishani mwako!
Nisamehe mpenzi wangu!
...........
Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda
kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi
kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako
chozi, na daima nitakuenzi.